Umoja wa katiba ya wananchi-UKAWA: wamekutana Zanzibar na kutoa tamko la kuikataa hati ya muungano kuwa ni batili na hawana mpango wa kurudi bungeni hadi kieleweke
Mwenyekiti wa Chama cha CUF Mhe. Profesa Lipumba akizungumza na
waandishi wa habari kuhusiana na kutoka kwa Wajumbe wa UKAWA kutoka
Vyama vya Upinzani Wanaohudhuria Bunge Maalum la Katiba
Viongozi wa UKAWA wakiwa katika mkutano na Waandishi wa habari katika
ukumbi wa hoteli ya Mzsons Shangani Zanzibar baada ya mkutano wao
kuahirishwa na jeshi la Polisi Zanzibar kwa sababu za kiusalama .
Mwenyekiti wa CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe, akizungumza na waandishi wa
habari sababu za kutoka katika bunge maalum la katiba
Tanzania.akisisitiza jambo katika mkutano huo uliofanyika ukumbi wa
hoteli ya Mazsons shangani Zanzibar.
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Mhe. James Mbatia akizungumza na waandishi katika ukumbi wa hoteli ya Mazsons Zanzibar.
Baadhi wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wa UKAWA waliotoka katika
Kikao cha Bunge hilo wakiwa katika ukumbi wa hoteli ya Mazsons Shangani
Zanzibar wakizungumza na waandishi wa habari.
Baadhi wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wa UKAWA waliotoka katika
Kikao cha Bunge hilo wakiwa katika ukumbi wa hoteli ya Mazsons Shangani
Zanzibar wakizungumza na waandishi wa habari.
No comments: