MWILI WA MAREHEMU JAJI MSTAAFU LEWIS MAKAME WAAGWA VIWANJA VYA KARIMJEE DAR ES SALAAM, LEO
eneza
lenye mwili wa Marehemu aliyekuwa Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Taifa ya
Uchaguzi na Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Lewis Makame likiwa mbele ya viongozi wa Serikali, ndugu, jamaa na
marafiki kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho leo katika viwanja vya Karimjee
jijini Dar es Salaam.
Waziri
Mkuu Mizengo Kayanza Pinda akisaini kitabu cha maombolezo wakati wa kuuaga
mwili wa Marehemu aliyekuwa Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na
Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Lewis Makame leo katika viwanja vya Karimjee
jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimian na Mawaziri Wakuu,
Wastaafu, Frederick Sumaye na Jaji Joseph Warioba (wapili kulia) kabla
ya kuzungumza kwa niaba ya serikali na kutoa heshima za mwisho kwa
Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, marehemu Jaji Lewis
Makame kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam August 22, 2014.
Kulia nI jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na jaji Mkuu Mohamed
Chande Othman (kulia) na Mawaziri Wakuu Wastaafu, Joseph Warioba
(wapili kulia) na Frederick Sumaye kabla ya kutoa salamu za Serikali na
heshima za mwisho kwa Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,
marehemu Jaji Lewis Makame kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es
salaam August 22, 2014.
Waziri
Mkuu Mizengo Kayanza Pinda akitoa heshima za mwisho kwa mwili
wa Marehemu aliyekuwa Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Jaji
Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Lewis Makame leo katika viwanja vya Karimjee
jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa
Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Marehemu Jaji Lewis
Makame baada ya kuzungumza kwa niaba ya serikali kwenye ukumbi wa
Karimjee jijini Dar es salaam August 22, 2014.
Mmoja
wa wafiwa akilia kwa uchungu wakati akiuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti
mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani
Lewis Makame katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Jaji Leila Makame Mgonya
mmoja wa wana familia, wa Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya
Uchaguzi,Marehemu Jaji Lewis Makame baada ya kuzungumza kwa niaba ya
serikali na kutoa heshima za mwisho kwa marehemu huyo kwenye ukumbi wa
Karimjee jijini Dar es salaam August 22, 2014.
Viongozi
mbalimbali wa Serikali wakilisikiza wasifu wa marehemu aliyekuwa Mwenyekiti
mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani
Lewis Makame leo katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.
Ndugu,
jamaa na marafiki wakiwa na nyuso za uzuni wakati wa kuuaga mwili wa Marehemu aliyekuwa Mwenyekiti
mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani
Lewis Makame leo katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.Picha
na Anna Nkinda- Maelezo na Ofisi ya Waziri Mkuu
No comments: