MKUTANO MKUU WA BARAZA LA VIJANA LA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEA (CHADEMA)
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (wa pili
kulia) akiwaongozi wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Baraza la Vijana Chadema kuimba
wimbo wa taifa wakati wa mkutano huo.
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema
(Bavicha), ambaye amemaliza muda wake, John Heche akizungumza wakati wa
mkutano mkuu wa baraza hilo.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Baraza la Vijana
Chadema wakiwa katika mkutano huo.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Baraza la Vijana
Chadema wakiimba nyimbo za kuhamasisha chama.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(Chadema), Freeman Mbowe akitoka katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es
Salaam, baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Baraza la Vijana la chama hicho.
No comments: