Picha kutoka Bunge Maalum la katiba Bungeni mjini Dodoma.
Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la
Katiba, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Bunge mjini Dodoma.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba toka
Kundi la 201, Mhe. Askofu Amos Muhagachi akichangia mada wakati wa mjadala
ndani ya Bunge mjini Dodoma.
|
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe.
Ally Kessy (kulia) akiteta jambo na mjumbe mwenzie wa bunge hilo, Mhe. Edward
Lowassa mjini Dodoma.
|
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba,
Mhe. Samuel Sitta (kushoto) akijadili jambo na mjumbe wa Bunge hilo, Mhe.
James Mapalala mjini Dodoma.
|
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe.
Balozi Seif Ali Iddi (kushoto) akiteta jambo na mjumbe mwenzake wa bunge
hilo, Mhe. John Chiligati mjini Dodoma.
|
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe.
Abdallah Kigoda (kushoto) akijadiliana na mjumbe mwenzie wa bunge hilo, Mhe.
Jenista Mhagama mjini Dodoma.
|
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye
pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda
(kulia) akiteta jambo na mjumbe mwenzie, Mhe. Jenista Mhagama
|
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mohamed
Aboud (kushoto) akiteta jambo na mjumbe mwenzie wa bunge hilo, Mhe. Ally Kessy
mjini Dodoma.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
wakifuatilia kwa makini mjadala ndani ya Bunge hilo mjini
Dodoma
No comments: