Kutoka IKULU:Rais Jakaya Kikwete Aelekea Nchini Marekani
Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar
es salaam Mhe Said Meck Sadik na Meneja wa Emirates katika uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kabla ya kupanda ndege ya shirika
la Emirates kuelekea Marekani leo Novemba 6, 2014
Rais
Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na askari pamoja na wafanyakazi
katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kabla ya kupanda
ndege ya shirika la Emirates kuelekea Marekani leo Novemba 6, 2014.Picha
na IKULU
No comments: