Ads Top

Mbunge wa Maswa Magharibi-Chadema John Shibuda Audhuria Mkutano wa Hadhara Wa CCM kwenye kiwanja cha Mwahnuzi wilayani Meatu Chini ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ,Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na  Mbunge wa Maswa Ndugu John Shibuda, Shibuda aliieleza hadhira kuwa Kinana ni rafiki yake mkubwa  na wasiku nyingi wakati Nape alielezewa kama mtoto wake kwani yeye na marehemu Nnauye walikuwa marafiki wa kushibana.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na mbunge wa Maswa Magharibi John Shibuda baada ya kukutana kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika kwenye kiwanja cha Mwahnuzi wilayani Meatu.

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.