Ads Top

AJALI MBAYA YATOKEA POSTA JIJINI DAR ES SALAAM,AJERUHIWA NA MTI NA KUPASUKA VIBAYA SEHEMU ZA KICHWANI

  Majeruhi akiingizwa katika Bajaji tayari kwa ajili ya kupelekwa hospitali.
  Baadhi ya askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wakimshusha mwenzao baada ya kujigonga kwenye mti na kujeruhiwa vibaya na kupasuka sehemu za kichwani wakati akiwa kwenye Lori lenye namba za usajili 5514 JW 07 aina ya IVECO kandokando ya barabara ya Samora jirani na Idara ya Habari (Maelezo) jijini Dar es Salaam jioni hii. 
 Hapa ndipo alipojigonga majeruhi na kupasuka sehemu za kichwani.
 Lori aina ya IVECO ambalo majeruhi huyo alikuwa amepanda huku likiwa limesheheni mzigo mkubwa

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.