CHEKI JINSI SHEIKH PONDA ALIVYOFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM CHINI YA ULINZI MKALI WA JESHI LA POLISI NA ASKARI MAGEREZA
Msafara ukianza kutoka Mahakama ya Kisutu
Ulinzi ulikuwa ni wa Uhakika
Kikosi maalum cha Kutuliza Ghasia Magerezani (KMKM) nacho kilikuwepo
Ulinzi Ukiwa umekamilika nje ya mahakama
Picha juu na chini Mfuasi wa Ponda akidhibitiwa na askari
Mfuasi wa Sheikh Ponda Issa Ponda akijitetea
mbele ya Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU) baada ya kutolewa amri ya
kuondoka katika eneo la Mahakama ya
Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam wakati kesi inayomkabili Sheikh huyo
ilipoanza kusikilizwa leo.
Wakiwapokea na kuwapongeza wenzao wanao tuhumiwa pamoja na Ponda
Katibu
wa Jumuiya na Taasisi za Waislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda (katikati) akiwa katika Mahakama ya
Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam wakati kesi inayomkali ya uchochezi
na wizi wa malighafi zenye thamani ya Sh.milioni 59 inayomkabili Katibu huyo na
wenzake 49 ilipoanza kusikilizwa leo.
Sheikh Ponda Issa Ponda akiwa katika basi la Magereza tayari kwa kurejeshwa Mahabusu.
Wafuasi wa Sheikh Ponda Issa Pondawakilifuatilia gari lililombeba kiongozi wao wakati akitoka Mahakama ya Kisutu.

Kundi la Wafuasi likiwa limejikusanya karibu na Jengo la Sophia House huku Polisi wakiwa kando yao.
Wafuasi waliokuwa nje wakiimba wakati gari likitoka
Wengine zaidi wakitoka Mahakama ya Kisutu.Picha na Mroki Mroki na Dende JR
Kesi ya Uchochezi na Uharibifu wa mali inayo
mkabili Sheikh Ponda Issa Ponda na wenzake leo imeendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
Kisutu Jijini Dar es Salaam huku Polisi wakiwa katika doria kali ya kuimarisha
ulinzi katika viunga jirani na Mahakama hiyo ambayo imejizolea umaarufu mkubwa
jijini Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla kwa jinsi inavyo endesha kesi na
watu wa aina mbalimbali kufikishwa katika mahakma hiyo kabla ya baade kesi zao
kuhamia Mahakama Kuu kwa hatua zaidi za kisheria.
No comments: