Ads Top

Jengo la PPF Tower Jijini Dar es Salaam Lashika Moto

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Jeng ola PPF TOWER lililopo mtaa wa Ohio jijini Dar es Salaam limepata hitilafu ya umeme na kusababisha moto mkubwa kwenye mitambo ya mawasiliano iliyopo juu kabisa ya jengo hilo kutekekea kwa moto
Habari Zaidi Baadae>>>

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.