Ujumbe wa Rais Barack Obama kwa Wakenya
Alituma ujumbe wake kupitia mtandao wa You tube na kuanza ujumbe wake kwa kiswahili.
Alisema uchaguzi ulikuwa fursa nzuri
kwa wakenya kuungana kuonyesha kuwa wao sio watu wa makabila bali taifa
linaloweza kujivunia.
Uchaguzi mkuu wa Kenya uliokumbwa na utata mwaka 2007 ulisababisha ghasia na vurugu ambapo watu zaidi ya 1,000 waliuawa
Wakenya watapiga kura tarehe 4 mwezi Machi,
kumchagua rais na waakilishi wengine, katika uchaguzi mkuu wa kwanza
tangu ule uliokumbwa na ghasia kwa habari zaidi bofya hapa..>>>
No comments: