Ads Top

Wanajeshi 13 wa SA wauawa CAR

Wanajeshi wa Afrika Kusini
Wanajeshi wa Afrika Kusini
Wanajeshi 13 wa Afrka Kusini waliuawa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wakati waasi walipouteka mji mkuu, Bangui, Jumapili. Haya yalitangazwa na Rais Jacob Zuma.
Bwana Zuma alisema Afrika Kusini "inajivunia" wanajeshi wake waliopambana na "waasi".
Bwana Zuma alisema wanajeshi wengine 27 walijeruhiwa, na mmoja hajulikani alipo.
"Ni kipindi cha huzuni kwetu sisi… Twajivunia wanajeshi wetu 200 waliopambana na waasi," aliuambia mkutano wa waandishihabari katika mjii mkuu, Pretoria

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.