Ads Top

MAKAMU WA RAIS DKT GHARIB BILAL AFUNGUA RASMI KONGAMANO LA TAFAKURI NA MARIDHIANO KUELEKEA KATIKA MPYA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Viongozi mbalimbali walioshiriki katika kongamano hilo wakiimba kwa pamoja wimbo wa taifa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi Kongamano la Tafakuri na Maridhiano kuelekea Katiba mpya, lililofanyika kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam, leo Feb 12, 2014 na kushirikisha Vyama vya Siasa, Makundi ya dini na Asasi za kiraia
 Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Bw. Ibrahim Lipumba akiwa katika kongamano hilo
Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa,Mbunge wa Singida Magharibi Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na washiriki wa Kongamano hilo
 Baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo.
 Meza Kuu.......
Baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, baada ya kufunguliwa rasmi rasmi Kongamano la Tafakuri na Maridhiano kuelekea Katiba mpya, lililofanyika kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam, leo Feb 12, 2014 na kushirikisha Vyama vya Siasa, Makundi ya dini na Asasi za kiraia.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,akiagana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, baada ya kufunguliwa rasmi rasmi Kongamano la Tafakuri na Maridhiano kuelekea Katiba mpya, lililofanyika kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam, leo Feb 12, 2014 na kushirikisha Vyama vya Siasa, Makundi ya dini na Asasi za kiraia.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Bilal na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wakiagana na wajumbe walioshiriki Kongamano hilo baada ya ufunguzi uliofanyika kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam leo Feb 12, 2014 na kushirikisha Vyama vya Siasa, Makundi ya dini na Asasi za kiraia.
Picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano hilo.Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.