MSAFARA WA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA JIMBO LA KALENGA ULIPOZUIWA NA POLISI IRINGA KWA KUKOSA KIBALI CHA KUFANYA MAANDAMANO
Polisi
mkoani Iringa wakiwa wameuzuia msafara wa mgombea ubunge jimbo la
Kalenga-Chadema, Bi Grace Tendega kupitia Chadema kwa madai hawakuwa na kibali
cha kufanya maandamano hayo ya magari hapa ni eneo la lango la mji
Samora ambapo msafara huo ulikuwa ukitokea maeneo ya Ndiuka kuelekea
kwa msimamizi wa uchaguzi ili kuchukua fomu.
No comments: