WATU wanne wapo katika hali mbaya na wengine saba wamejeruhiwa baada ya lori scania kugongana uso kwa uso na basi dogo la abiria Toyota Hiace iliyokuwa inatoka mbagala kwenda mkuranga.
Picha juu ni baadhi ya abiria wakiwa kwenye hali baada ya lori scania namba T653
BFD (scania 380) kugongana uso kwa uso
na baso dogo la abiria Toyota Hiace T613 CPG iliyokuwa inatoka mbagala kwenda
mkuranga jana
WATU wanne wapo
katika hali mbaya na wengine saba wamejeruhiwa baada ya lori scania namba T653
BFD (scania 380) kugongana uso kwa uso
na baso dogo la abiria Toyota Hiace T613 CPG iliyokuwa inatoka mbagala kwenda
mkuranga.
Kwa mujibu wa
shuhuda ya ajali hiyo iliyotokea Mwandege, Dominic Kubhota, ameiambia blogu hii
usiku huu kwamba chanzo cha ajali hiyo ni ovateki isiyotumia akili ya lori hilo
.
Majeruhi hao
wamefikishwa katika hospitali ya Mkuranga, lakini muda mfupi baadaye walianza
kukimbizwa kuleta dare s salaam kw amatibabu zaidi.
Abiria wawili waloikuwa
mbele ya daladala walikatika miguu.
Majeruhi wengine
walioweza kuzungumza ni: Mustafa mfungapoa
wa mkuranga
Abdul Ally wa
mwandege Ramadhani rajab Theofrida Mwinuka
( alikuwa mbele amevunjika miguu)Jamal mbaraka ( aliyekwanguka ngozi ya kichwa)Abraham Mohamed
Swalehe salum
No comments: