Kutoka IKULU:Rais Jakaya Kikwete Alipopokea Ripoti ya Hesabu Za Serikali IKULU Jijini Dar es Salaam
Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Mthibiti na Mkaguzi Mkuuwa
Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh baada ya kupokea Ripoti ya mwaka
Ikulu jijini Dar es salaam juzi
Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea kutoka kwa Mthibiti na Mkaguzi
Mkuuwa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh Ripoti ya mwaka Ikulu
jijini Dar es salaam juzi
Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimshukuru Mthibiti na Mkaguzi Mkuuwa Hesabu
za Serikali Bw. Ludovick Utouh baada ya kupokea Ripoti ya mwaka Ikulu
jijini Dar es salaam juzi
Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza akimsikiliza kwa makini
Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh baada
ya kupokea Ripoti ya mwaka Ikulu jijini Dar es salaam.Picha na
IKULU
No comments: