Shughuli ya kutafuta ndege ya AirAsia ambayo ilipotea jana Jumapili imeendelea leo tena baada ya kusitishwa kwa muda
162 walikuwa kwenye ndege hiyo wakati ikipoteza mawasiliano na
kituo cha kuelekeza safari za ndege. Ndege hiyo ilikuwa safarini kwenda
nchini Singapore ikitokea mji wa Surubaya nchini Indonesia. Shughuli za
kuitafua zinafanyika kwenye kisiwa cha Belitung.
Ndege za kijeshi
kutoka indonesia na singapore zilikuwa zikiisaka ndege hiyo kusini
magharibi mwa pwani ya Borneo ambapo ndege hiyo ilitoweka.
No comments: