R.I.P John woka
katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa kalazwa kwaajili ya matibabu.
Kwa mujibu wa kaka wa marehemu Omari Milay ni kwamba Marehemu Michael Denis a.k.a Joni Woka alipata ajali ya kugongwa na kitu kizito kwenye paji la uso, alipokuwa garage maeneo ya Sinza akitengeneza gari yake, kwa bahati mbaya mtungi wa gesi ukalipuka.
Kwa mujibu wa kaka wa marehemu Omari Milay ni kwamba Marehemu Michael Denis a.k.a Joni Woka alipata ajali ya kugongwa na kitu kizito kwenye paji la uso, alipokuwa garage maeneo ya Sinza akitengeneza gari yake, kwa bahati mbaya mtungi wa gesi ukalipuka.
Tanzanian Shilling Converter
No comments: