Ads Top

MNYIKA APETA UBUNGE UBUNGO, NGHUMBI APIGWA MWELEKA NA MAHAKAMA KUU


 Mnyika alivyoliteka eneo hilo kama mfalme

                                        … Ni furaha tupu kwake.…

Mwenyekiti wa chadema akiingia ndania

Wafuasi wa chama cha ccm wakijadili jambo kabla ya kuingia mahakamani

vyombo vya usalama vilikuwepo

wapenzi wa chadema wakiwa na mabango yenye ujumbe mbarimbari

magari yalio kuwa na madiwani wa chadema
 Polisi wakiwa sanjari na msafara wa wafuasi wa Chadema.
MAHAKAMA Kuu leo imetupilia mbali madai ya aliyekuwa mgombea wa ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bi Hawa Nghumbi dhidi ya mbunge wa sasa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika. Mara baada ya kutangazwa hukumu hiyo, na Jaji Upendo Msuya wafuasi wa chama hicho walilipuka kwa furaha na shangwe nje ya mahakama hiyo wakimpongeza mbunge huyo aliyekuwa anatetewa na wakili Edson Mbogoro.

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.