Ads Top

Kutoka Viwanja Vya Bunge Mjini Dodoma leo

 Waziri wa  Viwanda na Biashara  Dkt. Abdalla Kigoda (kulia) akibadilishana mawazo na Naibu Wazri wa afya na Ustawi wa  Jamii Dkt Seif Rashid katika viwanja vya  Bunge leo baada ya kuahirishwa mkutano wa kumi, kikao cha sita
 Waziri wa Maji Prof. Jumanne Maghembe (kushoto) akiongea na John Mnyika (Ubungo) katika viwanja vya Bunge leo, baada ya hoja yake binafsi kukataliwa Bungeni,
 Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango Malecela (kushoto) akiongea na William Ngeleja (Sengerema)katika viwanja vya Bunge baada ya Spika wa Bunge Anne Makinda (hayupo pichani) kuahirisha kikao hadi kesho,
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu(TAMISEMI) Hawa Ghasia (kushoto) akimsikiliza Mhandisi Stella Manyanya (Viti maalumu) kuhusu yaliojiri Bungeni leo.
Mbunge wa Moshi Mjini Philemon Ndesamburo (kushoto)pamoja na Said Arfi (Mpanda Mjini)wakifuatilia hoja mbalimbali Bungeni leo

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.