TAIFA STARS YAIBUKA NA USHINDI ZIDI YA TIMU YA TAIFA YA MOROCCO KATIKA MECHI YAKE YA KUFUZU KUCHEZA KOMBE LA DUNIA MWAKANI NCHINI BRAZIL
Wachezaji wa Taifa Stars wakishangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Thomas Ulimwengu.
TIMU
ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' leo imeishushia kichapo timu ya
taifa ya Morocco baada ya kuilaza kwa mabao 3-1 kwenye mechi iliyopigwa
katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao ya Taifa Stars
yamefungwa na wachezaji wa TP Mazembe, Mbwana Samatta aliyetupia kambani
bao mbili na Thomas Ulimwengu aliyefunga bao moja. Mchezo huo ulikuwa
wa kuwania nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia mwakani nchini
Brazil.
No comments: