MAMA MZAZI WA MWANAMUZIKI MASHUHURI NCHINI PROFESA J AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNGONGWA NA GARI HUKO MBEZI JUU, DAR ES SALAAM
Bi Rosemary Majanjara Haule enzi za uhai wake.
Profesa
J akiwa na mama yake mzazi Bi Rosemary Majanjara Haule enzi za uhai
wake. Picha hii ilipigwa April 4, 2008 katika ukumbi wa Diamond Jubilee
jijini Dar es salaam wakati wa sherehe ya uzinduzi wa albamu mpya ya
Profesa J ya 'Aluta Continua'
Mama
Rosemary Majanjala ambaye ni mama mzazi wa Msani wa Muziki wa Kizaz
kipya Joseph Haule maarufu PROF JAY aliyefarika jana usiku kwa ajali ya
kugongwa na gari wakati akijaribu kuvuka barabara akitokea dukani majira
ya saa 1 za usiku huko Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam.
No comments: