KUTOKA JESHI LA POLISI TANZANIA:SOMA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KIDATO CHA NNE NA SITA 2013
Jeshi
la Polisi Tanzania limetoa majina na ratiba ya usahili kwa vijana
waliomaliza kidato cha nne mwaka 2012 na waliomaliza kidato cha sita
mwaka 2013 ambao wamechaguliwa kufanya usaili kabla ya kujiunga na
Jeshi la Polisi.
Mikoa, vituo na tarehe za usaili zimeoneshwa kwenye jedwali hapa chini:
Muhimu:
NA
|
MIKOA
|
KITUO
CHA USAILI
|
TAREHE
ZA USAILI
|
MUDA
WA USAILI
|
1
|
KILIMANJARO
NA TANGA
|
OFISI
YA RPC TANGA
|
02-04
/09/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
2
|
MANYARA
NA ARUSHA
|
OFISI
YA RPC ARUSHA
|
06-09
/09/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
3
|
RUVUMA
NA NJOMBE
|
OFISI
YA RPC BUNCOMBE
|
12-14
/09/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
4
|
IRINGA
NA MBEYA
|
OFISI
YA RPC MBEYA
|
16-18
/09/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
5
|
RUKWA
NA KATAVI
|
OFISI
YA RPC RUKWA
|
20-23
/09/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
6
|
MTWARA
NA LINDI
|
OFISI
YA RPC MTWARA
|
26-28
/09/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
7
|
KIGOMA
|
OFISI
YA RPC KIGOMA
|
02-04
/09/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
8
|
MWANZA
NA MARA
|
OFISI
YA RPC MARA
|
06-09
/09/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
9
|
GEITA
NA KAGERA
|
OFISI
YA RPC GEITA
|
12-14
/09/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
10
|
SHINYANGA
NA SIMIYU
|
OFISI
YA RPC SHINYANGA
|
17-19
/09/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
11
|
TABORA
NA SINGIDA
|
OFISI
YA OCD NZEGA
|
21-24
/09/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
12
|
MOROGORO
NA DODOMA
|
OFISI
YA RPC DODOMA
|
26-28
/09/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
13
|
DSM
NA PWANI
|
DSM
POLICE ACADEMY
|
01-03
/10/2013
|
08:00
ASUBUHI -16:00 JIONI
|
Mwombaji anaruhusiwa kufanya usaili kwenye kituo chochote cha usaili kilicho karibu naye kulingana na tarehe zinavyoonesha kwenye jedwali hapo juu ili mradi tu awe amejiridhisha kuwa ni miongoni mwa walioitwa kwenye usaili. Jeshi la Polisi halitahusika na lawama yoyote ile kwa mtu atakayekwenda kwenye kituo cha usaili hali ambapo jina lake si miongoni mwa walioitwa kufanya usaili.
Mwombaji aliyeitwa kwenye usaili aje na vyeti vyake vyote vya masomo [(Academic Certificate(s)/Results slip(s) & Leaving certificate(s)], nakala halisi ya cheti cha kuzaliwa (Original Birth certificate). Hati ya kiapo cha kuzaliwa haitakubalika.
Mwombaji awe na namba ya simu itakayotumika kumjulisha endapo atachaguliwa..
Kila mwombaji aliyeitwa kwenye usaili atajigharamia usafiri, chakula na malazi kwa muda wote wa zoezi la usaili. Pia waombaji waje na kalamu za wino kwa ajili ya usaili wa kuandika.
Ni muhimu sana kwa kila mwombaji kuzingatia muda wa kuanza usaili.
Orodha hiyo ni kama ifuatavyo;
WALIOITWA KWENYE USAILI KIDATO CHA SITA 2013WALIOITWA KWENYE USAILI KIDATO CHA NNE 2013
No comments: