Majina ya Uhamisho na Uteuzi wa Mawaziri na Manaibu Waziri Uliyofanywa na Rais Jakaya Kikwete Leo Hii,Mawaziri Wapya ni Pamoja na Dr Asha Rose Migiro,Juma Nkamia,Mwigulu Nchemba,Jenista Mhagama,Godfrey Zambi
Naibu Wizara Mpya wa Fedha (Sera)Mwigulu Nchemba
Naibu Waziri Mpya wa kilimo na Chakula-Godfrey Zambi
Waziri Mpya wa Katiba na Sheria Dr Asha Rose Migiro
Naibu Waziri Mpya wa wizara ya Jinsia na watoto Pindi Chana
Naibu Waziri Mpya wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Jenista Muhagama
Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue.akitangaza baraza la mwaziri leo Ikulu Jijini Dar es Salaam Leo
Sehemu ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Kwa Makini Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue(hayupo pichani)akitangaza baraza la mwaziri leo Ikulu Jijini Dar es Salaam Leo
No comments: