Ads Top

Wafuasi Wanaounga Mkono Uongozi Wa Chadema na Wale wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe Wakizichapa

Mfuasi wa Chadema akiwa chini baada ya ‘kukatwa mtama’ na mfuasi mwingine wa chama hicho baada ya kutokea vurugu baina ya wafuasi wanaounga mkono uongozi na wale wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana baada ya kuahirishwa kwa hukumu ya kesi ya mbunge huyo katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam jana. Picha na Silvan Kiwale 

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.