Ads Top

Kamati Kuu ya CCM imewapa ONYO Kali Freddrick Sumaye,Edward Lowassa,January Makamba,William Ngeleja,Bernard Membe,Stephen Wassira Baada ya kuthibitika kuanza kampeni za kutafuta kuteuliwa kugombea urais

 Stephen Wassira
Edward Lowassa
 January Makamba
 Bernard Membe
 William Ngeleja
 Nape Moses Nnauye Katibuwa Itikadi, Siasa na Uenezi akizungumza na waandishi wa habari leo mchana katika makao makuu ya CCM Lumumba ofisi ndogo ya chama jijini Dar es salaam kuhusu maamuzi ya vikao vya chama vilivyomalizika mjini Daodoma hivi karibuni.

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.