Ads Top

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA APOKELEWA KWA KISHINDO WILAYANI KASULU LEO,AKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI NA KUPOKEA WANACHAMA WAPYA 500

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akipokelewa kwenye wa uwanja shule ya Msingi Nyenge,Wilayani Kasulu mkoani Kigoma jioni ya leo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia umati wa  watu katika Kijiji cha Nyenge, wakati wa ziara yake wilayani Kasulu leo ya kuimarisha  uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa  kufuata Ilani ya CCM. Kinana ambaye tayari ameshafanya ziara  mkoani Rukwa, hivi sasa ameanza ziara mkoani Kigoma. 
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia umati wa  watu katika Kijiji cha Nyenge, wakati wa ziara yake wilayani Kasulu leo ya kuimarisha  uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa  kufuata Ilani ya CCM. Kinana ambaye tayari ameshafanya ziara  mkoani Rukwa, hivi sasa ameanza ziara mkoani Kigoma
 Mbunge wa Viti Maalum CCM,Mh.Josephine Gezabuke akizungumza mbele ya umati mkubwa wa wanakijiji cha Nyenge wilayani Kasulu mkoani Kigoma jioni ya leo.
 Karanga zikitafunwa na mama nae kujipatia fedha 
 Mjumbe wa NEC,Balozi Ali Karume akiwa katikati ya akina mama wakiserebuka kwa pamoja,kwenye uwanja wa Tax Kasulu mjini mapema leo jioni mkoani Kigoma.
 Mambo ya Kasulu mjini hayo
 Haya zawadi ya mama kwa mgeni.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia umati wawatu mjini Kasulu, wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayote kelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM. Kinana ambaye tayari ameshafanya ziara mkoani  Rukwa, hivi sasa ameanza ziara mkoani Kigoma.
 Baadhi ya maelfu ya Wananchi  wakiwa wamekusanyika kwenye uwanja wa Tax Kasulu mjini jioni ya leo wakati Katibu Mkuu wa CCM;ndugu Kinana alipowahutubbia kwenye mkutano wa hadhara
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia umati wa watu mjini Kasulu, wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM. Kinana ambaye tayari ameshafanya ziara mkoani  Rukwa, hivi sasa ameanza ziara ya siku tano mkoani Kigoma.
 Mkuu wa Wilaya ya Kasulu,Mh Dan Makanga akijibu baadhi ya maswali kutoka kwa wananchi,kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jioni ya leo kwenye stendi ya Tax,Kasulu mjini mkoani Kigoma.
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwa na Baadhi ya Wanachama wapya waliojunga na CCM na kukabidhiwa kati.Kutoka kulia ni Katibu wa CHADEMA-SUA Wilayani Kasulu,Adolf Yanda pamoja na Mweyekiti wa Kijiji-CUF katika kata ya Rungwe Mpya,Nahoson Kigamba.CCM imekabidhi kazidi 500 za wananchama wapya walioamua kujinga na chama hicho cha CCM
 Baada ya kukabidhiwa kadi,wanakukula kiapo. 
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na Ujumbe wake wakipata taarifa fupi za mradi wa maji katika kijiji cha Nyumbigwa. 
 Kinana akipta taarifa ya mradi huo mkubwa wa maji katika kijiji cha Nyumbigwa,wilayani Kasulu mkoani Kigoma
 Wanakijiji  wa Nymbingwa wakipita kando kando ya tanki la Maji lenye uwezo wa kubebe lita za maji  290,975 na kuwahudumia wananchi zaidi ya elfu 11.
 Katibu Mkuu wa CCM akipokelewa kwa shangwe na wanakijiji wa Nyumbigwa,alipokwenda kukagua mradi mkubwa wa maji kijijini hapo.
 Ndugu Kinana akishiriki Ujenzi wa Ofisi ya CCM pamoja na wananchi wa kijiji cha Magunga,wilayani Kasulu mkoani Kigoma jioni ya leo.
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akizindua ofisi ya  CCM,Tawi la Migunga kata ya Kurugongo Wilayani Kasulu jioni ya leo .
 Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana ukielekea kwenye kijji cha Nyenga kukagua miradi mbalimbali ikiwemo na kuwahutubia wanakijiji,jioni ya leo Wilayani Kasulu mkoani Kigoma.
 Ndugu Kinana akikaribishwa na wanakijiji cha Nyumbigwa 
 Karibu Mgeni wetu Ndugu Kinana.

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.