KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA APOKELEWA KWA KISHINDO WILAYANI KASULU LEO,AKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI NA KUPOKEA WANACHAMA WAPYA 500
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akipokelewa kwenye wa uwanja shule ya Msingi Nyenge,Wilayani Kasulu mkoani Kigoma jioni ya leo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia umati wa watu katika Kijiji cha Nyenge, wakati wa ziara yake wilayani Kasulu leo ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM. Kinana ambaye tayari ameshafanya ziara mkoani Rukwa, hivi sasa ameanza ziara mkoani Kigoma.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia umati wa watu katika Kijiji cha Nyenge, wakati wa ziara yake wilayani Kasulu leo ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM. Kinana ambaye tayari ameshafanya ziara mkoani Rukwa, hivi sasa ameanza ziara mkoani Kigoma
Mbunge
wa Viti Maalum CCM,Mh.Josephine Gezabuke akizungumza mbele ya umati
mkubwa wa wanakijiji cha Nyenge wilayani Kasulu mkoani Kigoma jioni ya
leo.
Karanga zikitafunwa na mama nae kujipatia fedha
Mjumbe
wa NEC,Balozi Ali Karume akiwa katikati ya akina mama wakiserebuka kwa
pamoja,kwenye uwanja wa Tax Kasulu mjini mapema leo jioni mkoani Kigoma.
Mambo ya Kasulu mjini hayo
Haya zawadi ya mama kwa mgeni.
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia umati wawatu mjini Kasulu,
wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya
maendeleo inayote kelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM. Kinana ambaye tayari
ameshafanya ziara mkoani Rukwa, hivi sasa ameanza ziara mkoani Kigoma.
Baadhi
ya maelfu ya Wananchi wakiwa wamekusanyika kwenye uwanja wa Tax Kasulu
mjini jioni ya leo wakati Katibu Mkuu wa CCM;ndugu Kinana
alipowahutubbia kwenye mkutano wa hadhara
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia umati wa watu mjini Kasulu,
wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya
maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM. Kinana ambaye tayari
ameshafanya ziara mkoani Rukwa, hivi sasa ameanza ziara ya siku tano mkoani Kigoma.
Mkuu
wa Wilaya ya Kasulu,Mh Dan Makanga akijibu baadhi ya maswali kutoka kwa
wananchi,kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jioni ya leo kwenye
stendi ya Tax,Kasulu mjini mkoani Kigoma.
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwa na Baadhi ya Wanachama wapya waliojunga
na CCM na kukabidhiwa kati.Kutoka kulia ni Katibu wa CHADEMA-SUA
Wilayani Kasulu,Adolf Yanda pamoja na Mweyekiti wa Kijiji-CUF katika
kata ya Rungwe Mpya,Nahoson Kigamba.CCM imekabidhi kazidi 500 za
wananchama wapya walioamua kujinga na chama hicho cha CCM
Baada ya kukabidhiwa kadi,wanakukula kiapo.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na Ujumbe wake wakipata taarifa fupi za mradi wa maji katika kijiji cha Nyumbigwa.
Kinana akipta taarifa ya mradi huo mkubwa wa maji katika kijiji cha Nyumbigwa,wilayani Kasulu mkoani Kigoma
Wanakijiji wa Nymbingwa wakipita kando kando ya tanki la Maji lenye uwezo wa kubebe lita za maji 290,975 na kuwahudumia wananchi zaidi ya elfu 11.
Katibu Mkuu wa CCM akipokelewa kwa shangwe na wanakijiji wa Nyumbigwa,alipokwenda kukagua mradi mkubwa wa maji kijijini hapo.
Ndugu
Kinana akishiriki Ujenzi wa Ofisi ya CCM pamoja na wananchi wa kijiji
cha Magunga,wilayani Kasulu mkoani Kigoma jioni ya leo.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akizindua ofisi ya CCM,Tawi la Migunga kata ya Kurugongo Wilayani Kasulu jioni ya leo .
Msafara
wa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana ukielekea kwenye kijji cha Nyenga
kukagua miradi mbalimbali ikiwemo na kuwahutubia wanakijiji,jioni ya leo
Wilayani Kasulu mkoani Kigoma.
Ndugu Kinana akikaribishwa na wanakijiji cha Nyumbigwa
Karibu Mgeni wetu Ndugu Kinana.
No comments: