KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS-IKULU:MAKAMU WA RAIS DKT GHARIB BILAL AFANYA ZIARA YA KUKAGUA ATHALI ZA MAFURIKO DAR NA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA MPIJI.
Sehemu
ya daraja hilo, linavyoonekana baada ya kuongezeka upana kwa kulika
kutoka mita 25 na sasa kufikia mita 75, ambapo tayari Malori yameanza
kumwaga vifusi vya mawe ili kuziba eneo hilo na kuweza kuunganisha njia
hiyo
Malori yakimwaga vifusi vya Mawe kwenye daraja hilo.
Nguzo za umeme zikiwa zimeinama baada ya kuzidiwa nguvu na maji hayo yaliyobomoa daraja
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na baadhi ya viongozi wanaosimamia shughuli ya daraja
hilo, baada ya kuwasili eneo hilo leo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiongozana na baadhi ya viongozi kuelekea eneo la tukio kukagua
maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Mpiji lililokatika kutokana na Mvua
kubwa zinazoendelea kunyesha nchini.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiondoka eneo la tukio Daraja la Mpiji baada ya kumaliza ziara yake ya
kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja hilo lililokatika kutokana na
mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akitoa maelekezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Mussa
Ibrahim Iombe, wakati alipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa
Daraja la Mpiji lililokatika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea
kunyesha nchini.Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadick.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuhitimisha ziara yake
hiyo, katika eneo la Daraja la Mpiji, linalounganisha Bagamoyo na Dar es
Salaam, leo Aprili 13, 2014.Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais-IKULU
No comments: