Kutoka IKULU:Rais Jakaya Kikwete Amjulia Hali Mama Mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Kwa Tiketi ya CHADEMA Zitto Zuberi Kabwe Aliyelazwa Katika Wodi ya Wagonjwa Wenye Kuhitaji Uangilizi Maalumu (ICU)Hospitali ya AMI jijini Dar es Salaam


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akimjulia hali Mama Mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya
CHADEMA Zitto Zuberi Kabwe aliyelazwa katika wodi ya wagonjwa wenye
kuhitaji uangilizi maalumu (ICU) hospitali ya AMI jijini Dar es Salaam. Picha na-IKULU
No comments: