Ads Top

MTU MOJA AMEPOTEZA MAISHA LEO MAENEO YA MAGOMENI MTAA WA KIZINGO NI BAADA YA KUANGUKIWA NA NGUZO YA NYAYA ZA SIMU

 

 baadhi ya mashuhuda wakishuhudia kutokea kwa ajali hiyo

 eneo la tukio
 askali wakiuchukua mwili wa marehemu na kuupakia kwenye gari


 hiyo ndio nguzo ilio mponda marehemu 

Mtu huyo alikuwa akipita ndipo akaangukiwa na nguzo hiyo na kusababisha kupasuka maeneo ya kichwani kiasi cha ubongo kutoka na hatimae kupelekea umauti

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.