VIUNGO VYA MIILI YA BINADAMU VILIVYO YUPWA MAENEO YA BUNJU JIJINI DAR ES SALAAM
Baadhi ya Mifuko ambamo kunadaiwa Maiti izo zilikuwa zimewekwa
Mmoja ya Kiungo Kinachodaiwa cha Mguu
Sehemu
ya mifuko ya plastiki iliyokutwa na viungo hivyo ambavyo inasemekana ni
pamoja na mikono, miguu, ngozi na sehemu nyingine za miili
Gari likiwa limebeba mifuko yenye viuongo hivyo, ambapo Jeshi
la Polisi wilaya ya Kinondoni limesema kuwa limeanza uchunguzi wa kina
baada ya kukamata viungo mbalimbali vinavyodhaniwa kuwa ni vya
binadamu katika mifuko ya plastiki katika machimbo ya kokoto sehemu za
Mbweni Mpiji, Magohe, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam.
Jeshi la polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, limefanikiwa
kukamata viungo vya binadamu vikiwa kwenye mifuko ya plastiki katika
maeneo ya Bunju/Mbweni Mpiji, Magohe katika eneo ambalo ni marufu kwa
uchimbaji wa kokoto nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.
Viungo vilivyotambulika ni pamoja na miguu na mafuvu ya vichwa vya binadamu.
Jeshi la polisi lipo eneo la tukio kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Viungo vilivyotambulika ni pamoja na miguu na mafuvu ya vichwa vya binadamu.
Jeshi la polisi lipo eneo la tukio kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
No comments: