MWENYEKITI WA CHADEMA NA MBUNGE WA HAI,FREEMAN MBOWE ALIPOJISALIMISHA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI NCHINI FIKA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI KWA MAHOJIANO JANA
Askari akiwataka wanachadema kuondoka.
Ulinzi Mkali.
Huyu alikuwa akikaidi amri ya Jeshi la Polisi ilibidi aondolewe kwa nguvu.
Baadhi
ya Wachama na Wafuasi wa Chadema wakishangilia wakati Mwenyekiti wao
akiwasili kwenye Makao Makuu ya Jeshi la Palisi leo.
Kamishna
wa Polisi,CP Paul Chagonja akiwataka wanachama na wafuasi wa
Chadema kuondoka kwenye eneo hilo kwani hakuna sababu ya kufanya fujo.
Mwenyekiti
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Freeman Mbowe akiwasili
kwenye makao makuu ya Jeshi la Polisi nchini,Mapema jana asubuhi tayari
kwa kwenda kuhojiwa juu kauli aliyoitoa kwenye Mkutano Mkuu wa chama
hicho hivi katibuni,kuwa watafanya maandamano nchini nzima bila kikomo.
Makamu
Mwenyekiti wa Chadema,Prof. Abdallah Safari na Wakili wa Chama,Wakili
Mabele Marando wakiwasili kwenye Makao Makuu wa Jeshi la Polisi mapema jana.
Mwenyekiti wa Chama cha DP, Christopher Mtikila akihojiwa na askari
Polisi, alipowasili Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam kwa
kutumia usafiri wa bajaji, ambako Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe
alihojiwa na Polisi.
Ulinzi mlali katika eneo hilo.
Amri ikipita ya kuwataka wanachadema kuondoka eneo hilo.
Baadhi ya wanachama wa Chadema wakiondolea ndani la eneo la Makao Makuu wa Chadema
Naibu
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),John Mnyika
akizungumza na waandishi wa habari waliokuwepo kwenye eneo la makao
makuu ya Jeshi la Polisi,juu ya kile kilichokuwa kikiendelea kwenye
mahojiani katika ya Mwenyekiti wa Chama hicho na Jeshi la Polisi.
No comments: