BASI LA SIMBA MTOTO LAGONGANA NA ROLI WILAYANI KOROGWE MKOANI TANGA NAKUSABABISHA VIFO VYA WATU 11 NAKUJERUHI 29
Ajali
mbaya ya barabarani imetokea mkoani Tanga asubuhi hii wakati Basi la Kampuni ya
Simba Mtoto ya Tanga lilipogongana na Roli uso kwa uso,taarifa za
awali zinasema watu 11 wamekufa na wengine 29 wamejeruhiwa katika ajali
hiyo.
Kwa
sasa bado tunaendelea kufuatilia tukio hilo ili kupata
idadi kamili ambapo mpaka sasa taarifa za awali zinasema watu 10
ndiyo waliopoteza maisha katika ajali hiyo mbaya iliyotokea eneo la
Pangamlima wilayani Korogwe mkoani humo.
No comments: