WAZIRI MKUU: KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA BANDARI KUZIBA UKWEPAJI KODI KUPITIA UINGIZAJI MAFUTA
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari
Tanzania, Mhandisi, Aloys Mtei (kulia) kuhusu mabomba yanayotawanya
mafuta kwenda kwenye matangi makubwa ya makampuni mbalimbali kwenye eneo la
Kigambo jini Dar es salaam Februari 11, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akionyeshwa na kamimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamla ya bandari Tanzania,
Mhandisi Aloys Mtei eneo zinakotia nanga meli kubwa zinazoleta mafuta nchini
kupitia bandari ya Dar es salaam Februari 11, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akikagua eneo lenye mabomba yanayotumika kupitisha mafuta kutoka
kwenye meli kupitia bandari ya Dar es slaam wkatia lipofanya ziara ya
kukagua miundombinu yenye mianya ya ukwepaji kodi hasa kwenye mafuta
yanayoingia nchini Februari 11, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua
ujenzi wa Flow Meter eneo la Kigamboni jijini Dar es salaam Februari 11, 2016.
Mtambo huo utatumika kupima wingi wamafuta yanayotoka kwenye meli na kuingizwa
hapa nchini. Kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymound Mushi.
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa na Waziri wa Ujezi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa (kulia)
wikimsikiliza Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Bandari Tanzania,Mhandisi, Aloys Mtei
wakati alipotoa maelezo kuhusu uingizaji wa mafuta kutoka nje ya nchi kupitia
bandari ya Dar es salaam Februari 11, 2016.Mheshimiwa majaliwa alikuwa katika
ziara ya kukagua miundombinu yenye mianya ya ukwepaji kodi kwenye mafuta
yanayoingia nchini kupitia bandadari hiyo.
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akikagua eneo ambalo mafuta hufunguliwa na kufungwa ili kwenda kwenye
matangi ya kuhifadhia mafuta ya makampuni mbalimbali yanayoagiza mafuta toka
nje ya nchi wakati alipokwenda enero la Kigamboni jijini Dar es salaam
kuonamianya inayotumika kukwepa kodi za mafuta yanayoagizwa nje ya nchikupitia
bandari ya Dar es salaamFebruari 11, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitaka
maelezo kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo na Mizani, Bibi Magdalena
Chuwa (kulia) kuhusu sababu zilizomfanya azuie matumizi ya flow Meter katika
kuhakiki kiwango cha mafuta yanayoingia nchini kupitia bandari ya Dar es salaam
wakati alipofanya ziara kwenye badari hiyo Februari11, 2016. katikati ni Mkuu
wa Wilaya ya Ilala,Raymound Mushi.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
No comments: