WAZIRI MKUUU KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA MAWAKALA WA FORODHA NA BANDARI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akiingia kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dares salaam kuzungumza
wawakilishi wa Mawakala wa Forodha na Bandari kwenye ukumbi wa
Karimjee jijini Dar es salaam Machi 21, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipekuwa baadhi ya nyaraka
zinazoonyehsa jinsi wizi wa fedha za serikali uliofanywa kwenye
bandari ya Dar es salaam ukihusisha mabenki wakati akizungumza na
Mawakala wa Forodha na Bandari kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es
salaam Machi 21, 2016.
Baadhi ya Mawakala wa Forodha na
Bandari wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza
nao kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salam Machi 21, 2016.Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu
No comments: