MBUNGE wa Bahi, Omary Badwel, leo amepandishwa tena kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuanza kusomewa maelezo ya awali ya kesi ya tuhuma za rushwa inayomkabili.
KESI YA MBUNGE ANAYETUHUMIWA KULA RUSHWA YASOMWA MAHAKAMANI
Reviewed by Unknown
on
20:54
Rating: 5
No comments: