Ads Top

KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA

 Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Prof. Sospeter Muhongo akilionyesha bunge moja ya michoro ya miradi mbalimbali ya umeme  wakati akiwasilisha hotuba ya bajeti  Bungeni  jana
  Mbunge wa Ubungo  Mhe. John Mnyika akisoma hotuba ya Kambi ya Upinzani Bungeni ya Nishati na Madini jana
 Mbunge wa Ubungo  Mhe. John Mnyika akisoma hotuba ya Kambi ya Upinzani Bungeni ya Nishati na Madini jana
 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Mathias Chikawe akiangalia moja ya michoro ya mradi wa umeme wakati bajeti ya Nishati na Madini ikiwasilishwa Bungeni jana
 Mbunge wa Peramiho  Mhe. Jenista Muhagama  akizungumza na Mhe. Ally Kessy (Mb. Mpanda Kaskazini) katika kikao cha bunge leo.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini  Mhe. Simba Chawene akizungumza jambo na mbunge wa Mtwara mjini  mhe. Hasnain

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.