Ads Top

PICHA ZA VURUGU ZA MTWARA

mtwara-ambulance-manispaa-moto 
 Gari ya kubebea wagonjwa Ambulance inaonekana kuteketea kwa moto baada ya kuchomwa katika vurugu zilizoripotiwa kutokea mara kadhaa mkoani  Mtwara  mtwara-vurugu 
Moto ukiwa umeshawashwa baadhi ya maeneo ya Mtwara na kusababisha uharibifu wa mali mtwara-vurugu-magari-yachomwa-moto 
Magari yanayosemekana kuwa ya Halmashauri yakiwa yamechomwa moto na waanchi wa 
.Mtwara
 ofisi-moto-mtwara 
 Majengo yanayotajwa kuwa ofisi zimechomwa moto


Vurugu hizi zimetokea siku chache baada ya Wizara ya Nishati na Madini kusema kuwa bomba la gesi linajengwa  kutoka Mtwara kwenda Dar es salaam  na leo hii Wananchi wa Mtwara wacharuka na kuanzisha vurugu!

Tukio hili liliendelea wakati bajeti ya nishati na madini ikiendelea kujadiliwa  Bungeni. Endelea kuwa nasi mpaka hapo baadae ambapo tutaweza kukujuza zaidi kile ambacho kinaendelea kutokea Mtwara.

Fullshangweblog imewasiliana kwa njia ya simu usiku huu na Kamanda wa polisi wa mkoa wa Mtwara Kamanda ACP Linus Sinzumwa, hata hivyo ACP Sinzumwa alisema yuko kwenye kikao hataweza kuongea chochote na kukata simu

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.