kikosi cha zima moto kikiwa katika harakati za kuzima moto
huyu ni mwenye nyumba akionekana akiwa katika hali ya majonzi
Ni ajali mbaya ya moto iliyo tokea Magomeni Dar es salaam chanzo cha moto huo kimetajwa ni kuwa hitilafu ya umeme ambayo imesababisha kuzuka kwa moto huo
No comments: