KUTOKA TUME YA KATIBA: WANANCHI WA WILAYA ZA KILINDI, DODOMA, RUANGWA, RUNGWE, TEMEKE NA PEMBA WATOA MAONI KUHUSU RASIMU YA KATIBA MPYA.
Mjumbe wa Baraza lam Katiba katika Halmshauri ya Wilaya ya Temeke,
Mkoani Dar es Salaam, Bi. Bi Salama Masoud akichangia hoja kuhusu Rasimu
ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano
uliofanyika katika Halmshauri hiyo tarehe 21. Agosti, 2013.
Mjumbe wa Baraza la Katika katika Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma
Mkoani Dodoma, Dkt. Bright Boniface Mmbaga akichangia akichangia hoja
kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba
katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mkoani
humo tarehe 13. Agosti, 2013.
Wajumbe wa Baraza la Katiba katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi
Mkoani Tanga wakipitia Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya
Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika Wilayani humo tarehe
21. Agosti, 2013.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bi. Riziki Ngwali akimsikiliza
mmoja wa Mjumbe wa Baraza la Katiba katika Baraza la Mji wa Mkoani,
Pemba aliyetaka kupata ufafanuzi wa vipengele vilivyopo katika Rasimu
ya Katiba Mpya wakati wa mkutano uliofanyika Pemba tarehe 21. Agosti,
2013.
Wajumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mkoani
Mbeya wakiwa katika mjadala wa pamoja wa kuijadili na kuitolea
maoni Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba
katika mkutano uliofanyika Wilayani humo tarehe 19. Agosti, 2013.
Wajumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
mkoani Lindi, wakipitia Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya
Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika Wilayani humo tarehe
21. Agosti, 2013.
No comments: