Ads Top

Uchaguzi wa Mali ambao umekuja kufuatia mapinduzi ya kijeshi pamoja na waasi kuteka sehemu ya Kaskazini mwa nchi, utakuwa na duru ya pili, kwa mujibu wa tangazo la serikali.

Wagombea wakuu wa uchaguzi mkuu nchini Mali

Hakuna mgombea aliyepata zaidi ya silimia hamsini ya kura zilizopigwa kudai ushindi.
Waziri mkuu wa zamani, Ibrahim Boubacar Keita na aliyekuwa waziri wa fedha, Soumaila Cisse watatoana kijasho katika duru ya pili ya uchaguzi itakayofanyika tarehe 11 Agosti.
Uchaguzi unanuia kurejesha demokrasia baada ya zaidi ya mwaka mmoja ya mgogoro wa kisiasa.
Kwa habari zaidi bofya hapa....>>>>>> 

1 comment:

  1. If you wish for to obtain a great deal from this article then you
    have to apply these methods to your won web site.



    my weblog: ignacio a kassis [shreekcinstitute.com]

    ReplyDelete

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.