Uchaguzi wa Mali ambao umekuja kufuatia mapinduzi ya kijeshi pamoja na waasi kuteka sehemu ya Kaskazini mwa nchi, utakuwa na duru ya pili, kwa mujibu wa tangazo la serikali.

Wagombea wakuu wa uchaguzi mkuu nchini Mali
Hakuna mgombea aliyepata zaidi ya silimia hamsini ya kura zilizopigwa kudai ushindi.
Waziri mkuu wa zamani, Ibrahim Boubacar Keita na
aliyekuwa waziri wa fedha, Soumaila Cisse watatoana kijasho katika duru
ya pili ya uchaguzi itakayofanyika tarehe 11 Agosti.
Uchaguzi unanuia kurejesha demokrasia baada ya zaidi ya mwaka mmoja ya mgogoro wa kisiasa.
Kwa habari zaidi bofya hapa....>>>>>>
Kwa habari zaidi bofya hapa....>>>>>>
If you wish for to obtain a great deal from this article then you
ReplyDeletehave to apply these methods to your won web site.
my weblog: ignacio a kassis [shreekcinstitute.com]