WAZIRI WA UJENZI DKT.JOHN MAGUFULI AFUNGUWA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI 2013 JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli
(kulia) akizindua rasmi kiapo cha utii kwa Wahandisi Wataalamu leo
jijini Dar es Salaam kilichofanyika katika hafla ya maadhimisho ya Siku
ya Wahandisi 2013. Picha kushoto ni Msajili wa Bodi ya Usajili wa
Wahandisi nchini Mhandisi Steven Mlote, (katikati) ni Hakimu Mkazi wa
Mahakama ya Kisutu Wariyaruandwe Lema.
Baadhi ya wahandisi wakila kiapo cha utii leo jijini Dar es Salaam.
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu
Wariyaruandwe Lema(kulia) akiwaapisha Wahandisi mbalimbali kutoka
taasisi na mashirika ya kihandisi,leo jijini Dar es Salaam katika
maadhimisho ya siku ya wahandisi 2013 leo jijini Dar es Salaam
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli
(kulia) akimkabidhi cheti pamoja na luptop Anna Msigwa mmoja ya
mhandisi mhitimu aliefanya vizuri zaidi katika mtihani wa mwisho wa
mwaka 2012/ 2013, (Pichani mwenye kipaza sauti) Ni Msajili wa Bodi ya
Wasajili Mhandisis Steven Mlote.
Baadhi ya Wahandisi waliohudhuria
hafla ya maadhimisho ya siku ya Wahandisi 2013 leo jijini Dar es Salaam
wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli
(hayupo pichani)
No comments: