Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametia saini mswada wenye utata unaotoa adhabu kali kwa watakaopatikana wakishiriki mapenzi ya jinsia moja
Mswada huo ambao sasa utakuwa
sheria, unatoa adhabu ya kifungo cha miaka 14 jela kwa wale
watakaopatikana na hatia kwa mara ya kwanza,
Adhabu ya maisha jela itatolea kwa watu
watakaopatikana na hatia ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja zaidi ya
mara moja kati ya watu wawili waliokubaliana kufanya hivyo.
Adhabu hiyo pia itatolewa kwa wale wanaopatikana
na hatia ya kuwahusisha watoto katika vitendo hivyo, walemavu au
kumuambikiza mtu virusi vya Ukimwi.
Mswada huo umepigiwa debe sana nchini Uganda, lakini mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yameulaan
No comments: