KATIBU MKUU WA CCM, KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI NZEGA, LEO NDANI YA WILAYA YA UYUI MKOANI TABORA
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia mkutano wa hadhara
katika Uwanja wa Taifa Kata ya Bukene, wilayani Nzega, wakati wa
mwendelezo wa ziara hiyo ndani ya Mkoa wa Tabora.Kinana amemaliza ziara
yake katika Wilaya ya Igunga na Nzega na kesho kuhamia wilayani
Uyui,katika suala zima la kuimarisha chama,kutekeleza na kuhimiza
maendeleo ya Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2010,sambamban a kusikiliza
matatizo ya wananchi na kuyapatia ufumbuni kwa namna moja ama
nyingine,zira hiyo itakuwa ni ya siku kumi ndani ya mkoa wa Tabora.
Baadhi ya
wakazi wa jimbo la Bukene wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa hadhara
uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa,kata ya Bukene, wilayani Nzega
Wanachama wapya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakila kiapo cha utii cha chama hicho, baada ya kukabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa katika Kata ya Bukene, wilayani Nzega leo.
Katibu wa
NEC,Uenezi siasa na Itikadi,Nape Nnayue akiwahutubia wakazi wa
Bukene,kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Taifa Kata
ya Bukene, wilayani Nzega, mkoani Tabora.
Baadhi ya
wakazi wa jimbo la Bukene wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa hadhara
uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa,kata ya Bukene, wilayani Nzega
Wanachama wapya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakila kiapo cha utii cha chama hicho, baada ya kukabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa katika Kata ya Bukene, wilayani Nzega leo.
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,
Nape Nnauye wakiwapungia mikono wananchi baada ya kuwasili kwenye
mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa katika Kata ya
Bukene, wilayani Nzega
Kinana
akiwa na Mohamed Kashindye mmiliki wa shamba la kumwagilia la mpunga
alipoombwa kwenda kulikagua,katika Jimbo la Bukene, wilayani Nzega.
Mkulima huyo alimuomba Kinana kufanya hivyo licha ya shamba lake
kutokuwemo kwenye ratiba ya ziara ya kiongozi huyo. Kinana alikubali
kukagua shamba hilo na kumpongeza Kashindye kwa kilimo hicho.
Kinana akishuka kwenye tanki alipokuwa akikagua mradi wa maji wa Kijiji cha Itobo, Jimbo la Bukene, wilayani Nzega
Kinana
akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Mamlaka ya Maji Safi na Taka Nzega,
Samweli Buyigi alipokuwa akikagua chujio la maji mjini Nzega
Wananchi wakifautilia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Itobo,jimbo la Bukene wilani Nzega mkoani Tabora.
Vijana
wakitumbuiza kwa ngoma ya zeze walipokuwa wakimlaki Kinana katika
mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Itobo, Jimbo la Bukene.
Wananchi wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Itobo.
Nape akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Itobo.
Sehemu ya umati wa watu uliofurika kwenye mkutano wa CCM Kata ya Bukene .
Kinana akihutubia katika mkutano huo na kukemea kitendo cha wana Ukawa kuwatukana vingozi waasisi wa muungano.
Kinana akikagua mradi wa maji ndani ya jimbo la Bukene,wilayani Nzega mkoani Tabora.
No comments: