APIGWA SHOKA LA KICHWA BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU
Baada
ya madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando kupambana kuokoa maisha
ya jamaa huyu mkazi wa Mwanza, aliye fumaniwa na kupigwa Shoka ya Kichwa
akiwa na mke wa mtu, hatimaye wamefanikiwa kuchomoa shoka hilo kichwani
lakini hali yake bado mbaya akiwa katika chumba cha ICU kwa uangalizi zaidi. ''Mke wa mtu sumu'
No comments: