Ads Top

APIGWA SHOKA LA KICHWA BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU

Baada ya madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando kupambana kuokoa maisha ya jamaa huyu mkazi wa Mwanza, aliye fumaniwa na kupigwa Shoka ya Kichwa akiwa na mke wa mtu, hatimaye wamefanikiwa kuchomoa shoka hilo kichwani lakini hali yake bado mbaya akiwa katika chumba cha ICU kwa uangalizi zaidi. ''Mke wa mtu sumu'

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.