Picha Kutoka Bunge Maalum la Katiba Mjini Dodoma
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta (kulia)
akiteta jambo na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru wakati wa Bunge Maalum la
Katiba jana Mjini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe toka Kamati
mbalimbali wakiendelea kuwasilisha taarifa za Kamati zao katika Bunge
Maalum la Katiba jana Bungeni Mjini Dodoma
No comments: