Waziri Mkuu Mizengo Pinda Akiwa na Wajumbe Mbalimbali wa Bunge Maalum la Katiba Mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo
Pinda akiteta na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Ally Juma Othman Ally kwenye
viwanja vya bunge mjini Dodoma Septemba 4, 2014
Wajumbe wa
Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pida na Anne Kilango Malecala
wakiteta kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 4, 2014.
Wajumbe wa Bunge
Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ,Mohamed Raza (kushoto) na
Ally Juma Othman Ally (katikati) wakizungumza kwenye viwanja vya Bunge mjini
Dodoma Septemba 4, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo
Pinda akisalimana na Meya wa Songea, Charles Mhagama,kwenye viwanja vya Bunge
mjini Dodoma Septemba 4, 2014. Katikati ni Mbunge wa Songea mjini ,Dr. Emmanuel
Nchimbi.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
No comments: