MREMA AENDELEA NA MIKUTANO JIMBONI KWAKE VUNJO
Mkutano wa hadhara wa chama cha Tanzania
Labour (TLP) uliokuwa ukihutubiwa na Mbunge wa jimbo la Vunjo Agustine
Mrema jirani na matanki ya Maji katika kijiji cha Mieresini wilaya ya
Moshi vijijini
Afisa uhusiano wa Mamlaka ya Maji na Usafi
wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) Frolah Nguma (aliyesimama)akitoa
ufafanuzi juu ya maswala ya maji baada ya Mbunge Mrema kumtaka kufanya
hivyo muda mfupi baada ya maofisa wa Mamlaka hiyo kufika katika
Matenki ya Maji kwa ajili ya ukaguzi wa kawaida
Msimamizi mkuu wa (MUWSA)
Kituo cha Himo Brucevictor Sangawe akitoa ufafanuzi kwa wananchi
mbele ya mbunge wa jimbo la Vunjo ,Agustine Mrema juu ya upatikanaji
wa maji kwa wakazi wa maeneo ya ukanda wa juu katika mji wa
Himo
Msimamizi mkuu wa (MUWSA)
Kituo cha Himo Brucevictor Sangawe akitoa ufafanuzi kwa wananchi
mbele ya mbunge wa jimbo la Vunjo ,Agustine Mrema juu ya upatikanaji
wa maji kwa wakazi wa maeneo ya ukanda wa juu katika mji wa
Himo
Baadhi ya wananchi waliohudhuria mkutano wa
hadhara wa Mbunge Mrema.
Mh Mrema akifuatilia maelezo ya maofisa wa
Mamlaka ya maji na usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) walipokuwa
wakitoa maelezo kwa wananchi (hawapo pichani) ,Na Dixon Busagaga
wa Globu ya Jamii ,Kanda ya kasakazini.
No comments: