Ads Top

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ASEMA SERIKALI INAENDELEA KUPAMBANA NA RUSHWA NA UFISADI.


Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali ya awamu ya tano itaendelea kupambana na rushwa,ufisadi mpaka itakapo jiridhisha kwamba nchi inakwenda katika mstari unaotakiwa.

Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo ya maadili kwa mawaziri na manaibu waziri Mhe.Majaliwa amesema vitendo vya rushwa na ufisadi vinatia hasara serikali ya mamilioni ya fedha ambazo zingeweza kutumika kwaajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo kwa ajili ya wananchi na kusisitiza tatizo hilo linaweza kupungua iwapo viongoziwatazingatia sheria ya maadili kwa ujumla.
 

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.