WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ASEMA SERIKALI INAENDELEA KUPAMBANA NA RUSHWA NA UFISADI.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema
kuwa serikali ya awamu ya tano itaendelea kupambana na rushwa,ufisadi
mpaka itakapo jiridhisha kwamba nchi inakwenda katika mstari unaotakiwa.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo ya maadili kwa mawaziri na
manaibu waziri Mhe.Majaliwa amesema vitendo vya rushwa na ufisadi
vinatia hasara serikali ya mamilioni ya fedha ambazo zingeweza kutumika
kwaajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo kwa ajili ya wananchi na
kusisitiza tatizo hilo linaweza kupungua iwapo viongoziwatazingatia
sheria ya maadili kwa ujumla.
Tanzanian Shilling Converter
No comments: