Ads Top

Mama Salma Kikwete,Bernard Membe na Ridhwani Kikwete Wakijadili Jambo

Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM taifa na mke wa Rais Mama Salma Kikwete(wa kwanza kulia)Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe(wa pili kushoto) na Ridhwani Kikwete(katikati) wakijadiliana jambo muda mfupi kabla ya ufunguzi rasmi wa mkutano wa Halmashuari kuu ya CCM taifa katika jengo la White House, mjini Dodoma Jana

No comments:

UHURUTZ. Theme images by hanoded. Powered by Blogger.