Viongozi wa matawi ya CCM Ughaibuni (mkoa wa Diaspora) Watia Fora
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Katibu wa CCM tawi la Diaspora UK Mariamu Mungula ![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhHNTZybnwQTwyFwdxU_Jv0fp_AA7enyQl9VOkK6KpuRbJNUh38xBPFk4HkNAZVXqt0zTp9kgPYdiT1TPTClxWugr6a3bec9UL90pPz3Ig7bIGGbnlwQ0cpflBqUoAOqTZW6K1JXxTzHBWj/s600/d2.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhHNTZybnwQTwyFwdxU_Jv0fp_AA7enyQl9VOkK6KpuRbJNUh38xBPFk4HkNAZVXqt0zTp9kgPYdiT1TPTClxWugr6a3bec9UL90pPz3Ig7bIGGbnlwQ0cpflBqUoAOqTZW6K1JXxTzHBWj/s600/d2.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri Mkuu
Mizengo Pinda wakisalimiana na viongozi wa matawi ya CCM ughaibuni
(mkoa wa Diaspora) wakiwa katika mkutano Mkuu wa nane wa chama hicho
huko Kizota mjini Dodoma leo
Viongozi wa matawi ya CCM ughaibuni (mkoa wa Diaspora) wakiwa
katika mkutano Mkuu wa nane wa chama hicho huko Kizota mjini Dodoma leo
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipozi na viongozi wa matawi ya CCM
ughaibuni (mkoa wa Diaspora) wakiwa katika mkutano Mkuu wa nane wa
chama hicho huko Kizota mjini Dodoma leo
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wa juu
wa CCM katioka picha ya pamoja na viongozi wa matawi ya CCM ughaibuni
(mkoa wa Diaspora) wakiwa katika mkutano Mkuu wa nane wa chama hicho
huko Kizota mjini Dodoma leo.Picha na IKUL
No comments: